Skip to content
التوبَة /

Aya 10

9 : 10
التوبَة Aya 129
Sura · التوبَة
Kiswahili · Barawani
9 : 10

لَا يَرۡقُبُونَ فِي مُؤۡمِنٍ إِلّٗا وَلَا ذِمَّةٗۚ وَأُوْلَٰٓئِكَ هُمُ ٱلۡمُعۡتَدُونَ

Hawatazami kwa Muumini udugu wala ahadi; basi hao ndio warukao mipaka.

Explanation & meanings · 1
  1. Hiyo ndiyo hali ya ukafiri wao. Hawahishimu ujamaa wala ahadi katika kuamiliana na Muumini. Shani ya watu kama hao ni kufanya uadui tu. Hayo ndiyo maradhi yao yasio wabanduka!