Skip to content
الغَاشِية /

Aya 24

88 : 24
الغَاشِية Aya 26
Sura · الغَاشِية
Kiswahili · Barawani
88 : 24

فَيُعَذِّبُهُ ٱللَّهُ ٱلۡعَذَابَ ٱلۡأَكۡبَرَ

Basi Mwenyezi Mungu atamuadhibu kwa adhabu iliyo kubwa kabisa!

Explanation & meanings · 1
  1. Basi Mwenyezi Mungu atampa adhabu iliyo kubwa kabisa, isiyo kuwa na ya kuipita.