Skip to content
المُطَففين /

Aya 3

83 : 3
المُطَففين Aya 36
Sura · المُطَففين
Kiswahili · Barawani
83 : 3

وَإِذَا كَالُوهُمۡ أَو وَّزَنُوهُمۡ يُخۡسِرُونَ

Na wao wanapo wapimia watu kwa kipimo au mizani hupunguza.

Explanation & meanings · 1
  1. Na wakiwapimia watu kwa vipimo au mizani huwapunguzia haki yao wanayo stahiki, kwa dhulma!