Skip to content
الانفِطَار /

Aya 18

82 : 18
الانفِطَار Aya 19
Sura · الانفِطَار
Kiswahili · Barawani
82 : 18

ثُمَّ مَآ أَدۡرَىٰكَ مَا يَوۡمُ ٱلدِّينِ

Tena nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?

Explanation & meanings · 1
  1. Tena ni nini kitacho kujuvya ni nini hiyo Siku ya Malipo kwa vitisho vyake na shida zake?