Skip to content
النَّازعَات /

Aya 31

79 : 31
النَّازعَات Aya 46
Sura · النَّازعَات
Kiswahili · Barawani
79 : 31

أَخۡرَجَ مِنۡهَا مَآءَهَا وَمَرۡعَىٰهَا

Akatoa ndani yake maji yake na malisho yake,

Explanation & meanings · 1
  1. Akatoa ndani yake maji yake yanayo tibuka katika chemchem zake, na ikamiminika mito yake, na ikawa na mimea yake ya chakula kwa ajili ya watu na wanyama;