Skip to content
النَّازعَات /

Aya 10

79 : 10
النَّازعَات Aya 46
Sura · النَّازعَات
Kiswahili · Barawani
79 : 10

يَقُولُونَ أَءِنَّا لَمَرۡدُودُونَ فِي ٱلۡحَافِرَةِ

Sasa wanasema: Ati kweli tutarudishwa kwenye hali ya kwanza?

Explanation & meanings · 1
  1. Watu hawa husema duniani kwa kukanya kufufuliwa: Ati tutarudishwa sisi baada ya kwisha kufa, tuumbwe tena kama tulivyo kuwa?