Skip to content
الإنسَان /

Aya 8

76 : 8
الإنسَان Aya 31
Sura · الإنسَان
Kiswahili · Barawani
76 : 8

وَيُطۡعِمُونَ ٱلطَّعَامَ عَلَىٰ حُبِّهِۦ مِسۡكِينٗا وَيَتِيمٗا وَأَسِيرًا

Na huwalisha chakula, juu ya kukipenda kwake, masikini, na yatima, na wafungwa.

Explanation & meanings · 1
  1. Na huwalisha chakula mafakiri wasio weza kazi, na watoto walio fiwa na wazee wao, na wafungwa wasio miliki kitu, ijapo kuwa wao wenyewe hao watoaji wanakipenda hicho wanacho kitoa, na wanakihitajia.