Skip to content
الإنسَان /

Aya 6

76 : 6
الإنسَان Aya 31
Sura · الإنسَان
Kiswahili · Barawani
76 : 6

عَيۡنٗا يَشۡرَبُ بِهَا عِبَادُ ٱللَّهِ يُفَجِّرُونَهَا تَفۡجِيرٗا

Ni chemchem watakao inywa waja wa Mwenyezi Mungu, wakiifanya imiminike kwa wingi.

Explanation & meanings · 1
  1. Hiyo ni chemchem wanayo inywa waja wa Mwenyezi Mungu, na wanaipitisha watakapo kwa sahala.