Skip to content
القِيَامة /

Aya 14

75 : 14
القِيَامة Aya 40
Sura · القِيَامة
Kiswahili · Barawani
75 : 14

بَلِ ٱلۡإِنسَٰنُ عَلَىٰ نَفۡسِهِۦ بَصِيرَةٞ

Bali mtu ni hoja juu ya nafsi yake.

Explanation & meanings · 1
  1. Bali mtu yeye mwenyewe ni hoja iliyo wazi juu ya nafsi yake inayo mkazania kwa anayo yatenda na anayo yaacha.