Skip to content
نُوح /

Aya 18

71 : 18
نُوح Aya 28
Sura · نُوح
Kiswahili · Barawani
71 : 18

ثُمَّ يُعِيدُكُمۡ فِيهَا وَيُخۡرِجُكُمۡ إِخۡرَاجٗا

Kisha atakurudsheni humo na atakutoeni tena.

Explanation & meanings · 1
  1. Na Mwenyezi Mungu ndiye aliye kuumbeni kutokana na ardhi, akakuotesheni kama miema kwa njia ya ajabu, kisha baada ya kufa atakurejesheni huko huko kwenye ardhi, na tena atakutoeni huko kwa hakika hapana hivi wala hivi.