Skip to content
نُوح /

Aya 16

71 : 16
نُوح Aya 28
Sura · نُوح
Kiswahili · Barawani
71 : 16

وَجَعَلَ ٱلۡقَمَرَ فِيهِنَّ نُورٗا وَجَعَلَ ٱلشَّمۡسَ سِرَاجٗا

Na akaufanya mwezi ndani yake uwe nuru, na akalifanya jua kuwa taa?

Explanation & meanings · 1
  1. Na akaufanya mwezi katika mbingu hizo unatoa nuru, na akalifanya jua ni taa ambayo kwayo watu wa duniani ndio wanaona kwa mwangaza wake yote wanayo hitajia kuyaona?