Skip to content
المَعَارج /

Aya 27

70 : 27
المَعَارج Aya 44
Sura · المَعَارج
Kiswahili · Barawani
70 : 27

وَٱلَّذِينَ هُم مِّنۡ عَذَابِ رَبِّهِم مُّشۡفِقُونَ

Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola wao Mlezi.

Explanation & meanings · 1
  1. Na wale wanao iogopa adhabu ya Mola wao Mlezi basi wanajikinga nayo wala hawajitii katika jambo la kuwaletea adhabu hiyo.