Skip to content
المَعَارج /

Aya 1

70 : 1
المَعَارج Aya 44
Sura · المَعَارج
Kiswahili · Barawani
70 : 1

سَأَلَ سَآئِلُۢ بِعَذَابٖ وَاقِعٖ

Muulizaji aliuliza juu ya adhabu itakayo tokea!

Explanation & meanings · 1
  1. Ameita, mwenye kuita, kuhimiza kama kufanya kejeli, iletwe upesi adhabu kutoka kwa Mwenyezi Mungu ambayo hapana shaka itawashukia makafiri.