Skip to content
الأعرَاف /

Aya 132

7 : 132
الأعرَاف Aya 206
Sura · الأعرَاف
Kiswahili · Barawani
7 : 132

وَقَالُواْ مَهۡمَا تَأۡتِنَا بِهِۦ مِنۡ ءَايَةٖ لِّتَسۡحَرَنَا بِهَا فَمَا نَحۡنُ لَكَ بِمُؤۡمِنِينَ

Na wakisema: Hata ukituletea Ishara yoyote kutuzuga hatuto kuamini.

Explanation & meanings · 1
  1. Na kwa hii fikra mbovu waliyo nayo wakaendelea na upinzani. Walisema walipo ona miujiza ya Musa: Wewe hata ukituletea kila namna ya Ishara zinazo onyesha ukweli wa wito wako, ili kutuachisha dini yetu, na tusiwafanye watumwa watu wako, sisi hatukusadiki wala hatukufuati.