Skip to content
الحَاقة /

Aya 3

69 : 3
الحَاقة Aya 52
Sura · الحَاقة
Kiswahili · Barawani
69 : 3

وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡحَآقَّةُ

Na nini kitakujuulisha nini hilo Tukio la haki?

Explanation & meanings · 1
  1. Na kitu gani kitacho kujuvya ukweli wake, na kitacho kupa sura ya kitisho chake na shida zake?