Skip to content
الصَّف /

Aya 2

61 : 2
الصَّف Aya 14
Sura · الصَّف
Kiswahili · Barawani
61 : 2

يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ لِمَ تَقُولُونَ مَا لَا تَفۡعَلُونَ

Enyi mlio amini! Kwa nini mnasema msiyo yatenda?

Explanation & meanings · 1
  1. Enyi mlio amini! Kwa ajili ya nini mnasema kwa ndimi zenu yasiyo hakikishwa na vitendo vyenu?