Skip to content
الوَاقِعة /

Aya 74

56 : 74
الوَاقِعة Aya 96
Sura · الوَاقِعة
Kiswahili · Barawani
56 : 74

فَسَبِّحۡ بِٱسۡمِ رَبِّكَ ٱلۡعَظِيمِ

Basi litakase jina la Mola wako Mlezi aliye Mkuu.

Explanation & meanings · 1
  1. Basi dumisha kusabihi, kutakasa, kwa kulidhukuru jina la Mola wako Mlezi aliye Mkubwa, kwa kumtakasa na kumshukuru kwa neema hizi nzuri.