Skip to content
الوَاقِعة /

Aya 46

56 : 46
الوَاقِعة Aya 96
Sura · الوَاقِعة
Kiswahili · Barawani
56 : 46

وَكَانُواْ يُصِرُّونَ عَلَى ٱلۡحِنثِ ٱلۡعَظِيمِ

Na walikuwa wakishikilia kufanya madhambi makubwa,

Explanation & meanings · 1
  1. Na walikuwa wameshikilia daima kufanya dhambi kubwa kabisa, kwani waliapa kwa Mwenyezi Mungu kwamba kabisa Mwenyezi Mungu hatamfufua aliye kufa.