Skip to content
النَّجم /

Aya 12

53 : 12
النَّجم Aya 62
Sura · النَّجم
Kiswahili · Barawani
53 : 12

أَفَتُمَٰرُونَهُۥ عَلَىٰ مَا يَرَىٰ

Je! Mnabishana naye kwa aliyo yaona?

Explanation & meanings · 1
  1. Hivyo nyinyi mnamkadhibisha Mtume wa Mwenyezi Mungu na mnabishana naye kwa aliyo yaona kwa macho yake?