Skip to content
الطُّور /

Aya 49

52 : 49
الطُّور Aya 49
Sura · الطُّور
Kiswahili · Barawani
52 : 49

وَمِنَ ٱلَّيۡلِ فَسَبِّحۡهُ وَإِدۡبَٰرَ ٱلنُّجُومِ

Na usiku pia mtakase, na zinapo kuchwa nyota.

Explanation & meanings · 1
  1. Na tafuta usiku usiku nafasi ya kumsabihi, yaani kumtakasa, Mwenyezi Mungu, na mtakase pia wakati zinapo kuchwa nyota, yaani alfajiri.