Skip to content
قٓ /

Aya 3

50 : 3
قٓ Aya 45
Sura · قٓ
Kiswahili · Barawani
50 : 3

أَءِذَا مِتۡنَا وَكُنَّا تُرَابٗاۖ ذَٰلِكَ رَجۡعُۢ بَعِيدٞ

Ati tukifa na tukawa udongo? Kurejea huko kuko mbali!

Explanation & meanings · 1
  1. Ati baada ya kwisha kufa na tukawa udongo, tutafufuliwa tena? Huko kufufuliwa baada ya kufa ni marejeo yaliyo mbali, hayawi.