Skip to content
المَائدة /

Aya 86

5 : 86
المَائدة Aya 120
Sura · المَائدة
Kiswahili · Barawani
5 : 86

وَٱلَّذِينَ كَفَرُواْ وَكَذَّبُواْ بِـَٔايَٰتِنَآ أُوْلَٰٓئِكَ أَصۡحَٰبُ ٱلۡجَحِيمِ

Na wale walio kufuru na wakazikanusha Ishara zetu, hao ndio watu wa Motoni.

Explanation & meanings · 1
  1. Na walio mpinga Mwenyezi Mungu na Mitume wake, na wakazikanya dalili alizo wateremshia kuwa ni uwongofu wa kufikia Haki, ni wao peke yao wanao stahiki adhabu kali katika Jahannamu.