Skip to content
الحُجُرَات /

Aya 4

49 : 4
الحُجُرَات Aya 18
Sura · الحُجُرَات
Kiswahili · Barawani
49 : 4

إِنَّ ٱلَّذِينَ يُنَادُونَكَ مِن وَرَآءِ ٱلۡحُجُرَٰتِ أَكۡثَرُهُمۡ لَا يَعۡقِلُونَ

Hakika hao wanao kuita nawe uko nyuma ya vyumba, wengi wao hawana akili.

Explanation & meanings · 1
  1. Hakika hao wanao kuita kwa makelele nawe uko vyumbani mwako wengi wao hawafahamu yanayo takikakana kukuhishimu na kukutukuza kwa makamo yako.