Skip to content
مُحمد /

Aya 17

47 : 17
مُحمد Aya 38
Sura · مُحمد
Kiswahili · Barawani
47 : 17

وَٱلَّذِينَ ٱهۡتَدَوۡاْ زَادَهُمۡ هُدٗى وَءَاتَىٰهُمۡ تَقۡوَىٰهُمۡ

Na wale walio ongoka anawazidishia uongofu na anawapa uchamngu wao.

Explanation & meanings · 1
  1. Na walio ongoka wakashika njia ya Haki, Mwenyezi Mungu huwazidishia uwongofu, na akawapa kinga chao cha kujikingia na Moto.