Skip to content
الجاثِية /

Aya 1

45 : 1
الجاثِية Aya 37
Sura · الجاثِية
Kiswahili · Barawani
45 : 1

حمٓ

H'a Mim .

Explanation & meanings · 1
  1. H'a Mim. Hizi ni harufi mbili katika harufi za kutamkwa, zimeanzia Sura hii kama ada ya Sura nyingi katika Qur'ani ambazo zimeanzia kwa harufi kama hivi ili kuashiria kuwa washirikina wameshindwa kuleta mfano wake, ijapo kuwa hii Qur'ani imeundwa kwa harufi hizi hizi wanazo zitumia katika maneno yao.