Skip to content
الدُّخان /

Aya 29

44 : 29
الدُّخان Aya 59
Sura · الدُّخان
Kiswahili · Barawani
44 : 29

فَمَا بَكَتۡ عَلَيۡهِمُ ٱلسَّمَآءُ وَٱلۡأَرۡضُ وَمَا كَانُواْ مُنظَرِينَ

La mbingu wala ardhi hazikuwalilia, wala hawakupewa muhula.

Explanation & meanings · 1
  1. Basi la mbingu wala ardhi hazikuwahuzunukia ilipo wanyakua adhabu, jinsi ilivyo haribika hali yao; wala hawakungojewa watubu, wala hawakupewa muhula wapate kudiriki taksiri yao, kwa jinsi walivyo dharauliwa!