Skip to content
الدُّخان /

Aya 2

44 : 2
الدُّخان Aya 59
Sura · الدُّخان
Kiswahili · Barawani
44 : 2

وَٱلۡكِتَٰبِ ٱلۡمُبِينِ

Naapa kwa Kitabu kinacho bainisha!

Explanation & meanings · 1
  1. Mwenyezi Mungu anaapa kwa Qur'ani yenye kuweka wazi Dini ya Haki, yenye kuwabainishia watu yaliyo na maslaha ya dunia yao na Akhera yao, ili kujuulisha utukufu wa cheo chake.