Skip to content
الزُّخرُف /

Aya 74

43 : 74
الزُّخرُف Aya 89
Sura · الزُّخرُف
Kiswahili · Barawani
43 : 74

إِنَّ ٱلۡمُجۡرِمِينَ فِي عَذَابِ جَهَنَّمَ خَٰلِدُونَ

Kwa hakika wakosefu watakaa katika adhabu ya Jahannamu.

Explanation & meanings · 1
  1. Hakika walio tenda makosa kwa ukafiri watakuwamo katika adhabu ya Jahannamu daima dawamu.