Skip to content
الزُّخرُف /

Aya 66

43 : 66
الزُّخرُف Aya 89
Sura · الزُّخرُف
Kiswahili · Barawani
43 : 66

هَلۡ يَنظُرُونَ إِلَّا ٱلسَّاعَةَ أَن تَأۡتِيَهُم بَغۡتَةٗ وَهُمۡ لَا يَشۡعُرُونَ

Je! Nini wanangojea ila Saa iwajie kwa ghafla na wala wao hawatambui?

Explanation & meanings · 1
  1. Makafiri hawangojei kitu baada ya kuipuuza Imani ila kuwafikia Saa kwa ghafla, nao wameghafilika nayo.