Skip to content
الزُّخرُف /

Aya 41

43 : 41
الزُّخرُف Aya 89
Sura · الزُّخرُف
Kiswahili · Barawani
43 : 41

فَإِمَّا نَذۡهَبَنَّ بِكَ فَإِنَّا مِنۡهُم مُّنتَقِمُونَ

Na hata tukikuondoa, Sisi tutalipiza kisasi chetu kwao.

Explanation & meanings · 1
  1. Basi tukikushika tukakufisha kabla hatuja kuonyesha adhabu yao, na kifua chako kikatua kwa hayo, na pia vifua vya Waumini, alaa kulli hali, Sisi bila ya shaka tutawaadhibu duniani na Akhera.