Skip to content
الزُّخرُف /

Aya 30

43 : 30
الزُّخرُف Aya 89
Sura · الزُّخرُف
Kiswahili · Barawani
43 : 30

وَلَمَّا جَآءَهُمُ ٱلۡحَقُّ قَالُواْ هَٰذَا سِحۡرٞ وَإِنَّا بِهِۦ كَٰفِرُونَ

Na ilipo wafikia Haki wakasema: Huu ni uchawi, na sisi hakika tunaukataa.

Explanation & meanings · 1
  1. Na ilipo teremka Qur'ani kuwaongoza kwenye Tawhid wakaongeza juu ya ushirikina wao kuita Qur'ani : "uchawi" na "kiini macho", kwa kejeli. Na wakashikilia ukafiri wao.