Skip to content
الشُّورى /

Aya 41

42 : 41
الشُّورى Aya 53
Sura · الشُّورى
Kiswahili · Barawani
42 : 41

وَلَمَنِ ٱنتَصَرَ بَعۡدَ ظُلۡمِهِۦ فَأُوْلَٰٓئِكَ مَا عَلَيۡهِم مِّن سَبِيلٍ

Na wanao jitetea baada ya kudhulumiwa, hao hapana njia ya kuwalaumu.

Explanation & meanings · 1
  1. Hakika wanao wapa adhabu wavamizi kama wanavyo fanya uadui wao, hao hawaingiliwi wala hawalaumiwi.