Skip to content
النِّسَاء /

Aya 121

4 : 121
النِّسَاء Aya 176
Sura · النِّسَاء
Kiswahili · Barawani
4 : 121

أُوْلَٰٓئِكَ مَأۡوَىٰهُمۡ جَهَنَّمُ وَلَا يَجِدُونَ عَنۡهَا مَحِيصٗا

Hao makao yao ni Jahannamu, na wala hawapati makimbilio kutoka humo.

Explanation & meanings · 1
  1. Hakika hao walio zipoteza akili zao na wakafuata wasiwasi wa Shetani anao watia katika nafsi zao, mwisho wao ni kuendea Jahannamu, wala hawatapata njia ya kutoka huko.