Skip to content
الزُّمَر /

Aya 12

39 : 12
الزُّمَر Aya 75
Sura · الزُّمَر
Kiswahili · Barawani
39 : 12

وَأُمِرۡتُ لِأَنۡ أَكُونَ أَوَّلَ ٱلۡمُسۡلِمِينَ

Na nimeamrishwa niwe wa mwanzo wa Waislamu.

Explanation & meanings · 1
  1. Na nimeamrishwa amri iliyo tokana naye Mtukufu, amri ya nguvu, ya kwamba niwe wa mwanzo wa kufuata amri zake.