Skip to content
صٓ /

Aya 73

38 : 73
صٓ Aya 88
Sura · صٓ
Kiswahili · Barawani
38 : 73

فَسَجَدَ ٱلۡمَلَٰٓئِكَةُ كُلُّهُمۡ أَجۡمَعُونَ

Basi Malaika wakat'ii wote pamoja.

Explanation & meanings · 1
  1. Malaika wote wakafanya kama walivyo amrishwa, wakamuangukia wakisujudu, isipo kuwa Iblisi. Yeye hakusujudu, na akajiona bora na akapanda kiburi, na akawa miongoni mwa makafiri.