Skip to content
صٓ /

Aya 52

38 : 52
صٓ Aya 88
Sura · صٓ
Kiswahili · Barawani
38 : 52

۞ وَعِندَهُمۡ قَٰصِرَٰتُ ٱلطَّرۡفِ أَتۡرَابٌ

Na pamoja nao wake zao wenye kutuliza macho, hirimu zao.

Explanation & meanings · 1
  1. Na huko Peponi watakuwa na wake ambao macho yao hayawatazami ila waume zao tu, hawawaangalii wengineo, nao ni wa miaka sawa na waume zao. Kwa hivyo wameelekeana kuwafikiana.