Skip to content
صٓ /

Aya 31

38 : 31
صٓ Aya 88
Sura · صٓ
Kiswahili · Barawani
38 : 31

إِذۡ عُرِضَ عَلَيۡهِ بِٱلۡعَشِيِّ ٱلصَّٰفِنَٰتُ ٱلۡجِيَادُ

Alipo pelekewa jioni farasi wasimamao kidete, tayari kutoka shoti;

Explanation & meanings · 1
  1. Na hebu taja katika khabari za Suleiman kuwa alipelekewa alasiri farasi wa asli ambao hutulia wanapo simama, na huenda mbio wanapo kwenda.