Skip to content
صٓ /

Aya 20

38 : 20
صٓ Aya 88
Sura · صٓ
Kiswahili · Barawani
38 : 20

وَشَدَدۡنَا مُلۡكَهُۥ وَءَاتَيۡنَٰهُ ٱلۡحِكۡمَةَ وَفَصۡلَ ٱلۡخِطَابِ

Na tukautia nguvu ufalme wake, na tukampa hikima, na kukata hukumu.

Explanation & meanings · 1
  1. Tukautia nguvu ufalme wake, na tukampa Unabii na kupambanua baina ya Haki na baat'ili.