Skip to content
صٓ /

Aya 14

38 : 14
صٓ Aya 88
Sura · صٓ
Kiswahili · Barawani
38 : 14

إِن كُلٌّ إِلَّا كَذَّبَ ٱلرُّسُلَ فَحَقَّ عِقَابِ

Hao wote waliwakadhibisha Mitume; basi wakastahiki adhabu yangu.

Explanation & meanings · 1
  1. Hapana mmoja katika hao wote ila alimkadhibisha Mtume wake, na kwa hivyo ikawashukia adhabu yangu.