Skip to content
صٓ /

Aya 13

38 : 13
صٓ Aya 88
Sura · صٓ
Kiswahili · Barawani
38 : 13

وَثَمُودُ وَقَوۡمُ لُوطٖ وَأَصۡحَٰبُ لۡـَٔيۡكَةِۚ أُوْلَٰٓئِكَ ٱلۡأَحۡزَابُ

Na Thamud na kaumu Lut'i na watu wa Machakani. Hayo ndiyo makundi.

Explanation & meanings · 1
  1. Na kina Thamudi na Kaumu Lut'i na Kaumu ya Shuaibu, na watu wa Machakani, kwenye miti mingi iliyo shikamana. Hao ndio walio jumuika kuwapinga Mitume wao kama walivyo jumuika watu wako.