Skip to content
صٓ /

Aya 1

38 : 1
صٓ Aya 88
Sura · صٓ
Kiswahili · Barawani
38 : 1

صٓۚ وَٱلۡقُرۡءَانِ ذِي ٱلذِّكۡرِ

S'ad, Naapa kwa Qur'ani yenye mawaidha.

Explanation & meanings · 1
  1. S'ad: Ni harufi iliyo anzia Sura hii kama zilivyo anzia baadhi ya Sura nyengine kwa mpango wa Qur'ani katika kuanzia kwa harufi moja moja. Naapa kwa Qur'ani yenye utukufu na shani kubwa kuwa hakika hii ni Kweli isiyo na shaka yoyote.