Skip to content
الصَّافَات /

Aya 78

37 : 78
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 78

وَتَرَكۡنَا عَلَيۡهِ فِي ٱلۡأٓخِرِينَ

Na tukamwachia (sifa njema) kwa walio kuja baadaye.

Explanation & meanings · 1
  1. Na tukamwachilia Nuhu kutajwa kwa wema na watu walio kuja baada yake wakimdhukuru mpaka Siku ya Kiyama.