Skip to content
الصَّافَات /

Aya 76

37 : 76
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 76

وَنَجَّيۡنَٰهُ وَأَهۡلَهُۥ مِنَ ٱلۡكَرۡبِ ٱلۡعَظِيمِ

Na tulimwokoa yeye na ahali zake kutokana na msiba mkubwa.

Explanation & meanings · 1
  1. Na tukamwokoa Nuhu na walio amini pamoja naye, wasizame na kuteketea kwa tofani.