Skip to content
الصَّافَات /

Aya 53

37 : 53
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 53

أَءِذَا مِتۡنَا وَكُنَّا تُرَابٗا وَعِظَٰمًا أَءِنَّا لَمَدِينُونَ

Ati tukisha kufa tukawa udongo na mafupa, ndio tutalipwa na kuhisabiwa?

Explanation & meanings · 1
  1. Ati baada ya kwisha teketea, tukawa udongo na mafupa, tutakuja kuwa hai mara nyengine, tuhisabiwe na tulipwe kwa vitendo tulivyo kwisha vitenda?