Skip to content
الصَّافَات /

Aya 36

37 : 36
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 36

وَيَقُولُونَ أَئِنَّا لَتَارِكُوٓاْ ءَالِهَتِنَا لِشَاعِرٖ مَّجۡنُونِۭ

Na wakisema: Hivyo sisi tuiache miungu yetu kwa ajili ya huyu mtunga mashairi mwendawazimu?

Explanation & meanings · 1
  1. Na husema: Sisi tuache kuabudu miungu yetu kwa kufuata kauli ya mtunga mashairi aliye zugwa asiye kuwa na akili?