Skip to content
الصَّافَات /

Aya 31

37 : 31
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 31

فَحَقَّ عَلَيۡنَا قَوۡلُ رَبِّنَآۖ إِنَّا لَذَآئِقُونَ

Basi hukumu ya Mola wetu Mlezi imekwisha tuthibitikia. Hakika bila ya shaka tutaonja tu adhabu.

Explanation & meanings · 1
  1. Basi neno la Mola wetu Mlezi limethibiti juu yetu. Hakika hapana shaka sisi tutaionja adhabu ya Siku ya Kiyama.