Skip to content
الصَّافَات /

Aya 175

37 : 175
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 175

وَأَبۡصِرۡهُمۡ فَسَوۡفَ يُبۡصِرُونَ

Na watazame, nao wataona.

Explanation & meanings · 1
  1. Nawe watazame, na uangalie vyema adhabu gani na mateso yatakayo wapata kwa kwenda kinyume nawe na kukukadhibisha. Basi watakuja ona kwa macho yao zitakavyo shindwa safu zao, na wataona nusura ya Mwenyezi Mungu inavyo wafikia Waumini.