Skip to content
الصَّافَات /

Aya 168

37 : 168
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 168

لَوۡ أَنَّ عِندَنَا ذِكۡرٗا مِّنَ ٱلۡأَوَّلِينَ

Tungeli kuwa na Ukumbusho kama wa watu wa zamani,.

Explanation & meanings · 1
  1. Lau kuwa sisi tungeli kuwa na Kitabu kama Vitabu vya watu wa zamani, yaani kama Taurati na Injili, nasi bila ya shaka tungeli kuwa waja wa Mwenyezi Mungu wenye kumsafia ibada Yeye.