Skip to content
الصَّافَات /

Aya 150

37 : 150
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 150

أَمۡ خَلَقۡنَا ٱلۡمَلَٰٓئِكَةَ إِنَٰثٗا وَهُمۡ شَٰهِدُونَ

Au tumewaumba Malaika kuwa ni wanawake, na wao wakashuhudia?.

Explanation & meanings · 1
  1. Ati tumewaumba Malaika kuwa ni wanawake, na wao hao makafiri waliona kwa macho yao kuumba kwao, na ndio wakasimulia walio yaona?