Skip to content
الصَّافَات /

Aya 14

37 : 14
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 14

وَإِذَا رَأَوۡاْ ءَايَةٗ يَسۡتَسۡخِرُونَ

Na wanapo ona Ishara, wanafanya maskhara.

Explanation & meanings · 1
  1. Na wanapo ona ushahidi wa kuonyesha uweza wa Mwenyezi Mungu huitana wapate kupita mipaka katika kumkejeli.